Tsh. 0 to Tsh. 500,000,000

Other Features
Advanced Search

Tsh. 0 to Tsh. 500,000,000

Other Features

BIG FARMLAND FOR SALE IN TANZANIA

11

Msamalia Real estate

Phone:+255789895658
Email:chenkochenko831@gmail.com

Contact Me

Property Enquiry

Your search results

Available Units

Property Description

Description
BIG FARM LAND FOR SALE
Mashamba makubwa na yana hati (Title deed)
Mashamba ya kilimo cha kumwagilia
_________________________

-Shamba kubwa Linauzwa
-Locton:Iringa
-Ukubwa Acre 1,300
-Shamba Lina Title
-Umbali kilomita 45 toka Iringa mjini:

Sifa za shamba
1:Limeendelezwa
2:Kuna ng’ombe zaidi ya 150
3:Shamba linazingukwa na miti mikubwa karibu acre 50 ya kuvuna
4:Nyumba za wafanyakazi
5:Umeme wa kawaida na Jenereta kubwa la kufua umeme
6:Kuna magari ya kutembelea pick up na Trecta moja
7:Shamba limezungukwa na mito ya maji& tambalale:

*BEI SHILINGI BILION 2*
_________________________

Shamba kubwa Linauzwa
Locton:Mkoa wa Arusha
Ukubwa Acre 25,000/=
Shamba Lina Title deed zaidi ya 5 zimegawanyika kwa Ukubwa Tofauti

*BEI SHILINGI LAKI 8 KWA ACRE MOJA*
_________________________

-Shamba Linauzwa pangani-Tanga
Ukubwa Acre 10,000/=
Acre 1 shilingi 500,000/=
Shamba linauzwa kuanzia Acre 1,000/=
Shamba lina Title deed
_________________________

1:Shamba kubwa la kumwagilia linauzwa
Mkoa-Tanga
Location-Pangani
Ukubwa Acre 4900
Shamba lina Docoment zote
Limepimwa na Title deed
Shamba linafaa kulima mkonge nafaka zote na kilimo cha kumwagilia
Bei laki 6 kwa Acre
_________________________

2:Shamba Linauzwa
Locton:Pangani Tanga
Shamba:Ukubwa Acre 7200
Shamba Lina maji
Shamba Lina Title deed 3
Acre moja million 1:5
_________________________

3:Shamba kubwa la uwekezaji
Mkoa-Tanga
Wilaya -Pangani
Ukubwa -Acre 50,000
Shamba lakuwekeza shamba linagawanywa kwa watu hata 5
Bei shilingi milion 1 kwa acre
Huduma zote zipo maji umeme barabara safi mpaka shamba
_________________________

4:Acre 1500 zinauzwa
Mkoa wa Iringa
Wilaya ya kilolo
Umbali Kutoka Ilula kilomita 40
Bei SHILINGI Laki 5 kwa acre
Sifa shamba limegawanyika kwa acre 400×3 na 300 peke yake
Unaweza kupata acre 400 pekee
Kilimo shamba linafaa kilimo cha palachichi viazi mahindi nyanya na kilimo chochote cha kumwagilia.
_________________________

5:Shamba kubwa linauzwa:
Loction Mkoa-Iringa
Wilaya ya mufindi
Ukubwa acre 692
Bei milion 700
Shamba lina Title deed
_________________________

6:Shamba linauzwa
Loction mkoa wa Morogoro
Wilaya ya kilosa
Ukubwa Acre 7710
Shamba Lina Title deed
Acre moja inauzwa
Shamba linafaa kilimo chakumwagilia
Laki 8 kwa acre
_________________________

Shamba Linauzwa :
Locton .Njombe
Ukubwa Acre 250,000/=
Zenye Title deed acre 25800
Shamba Lina mito 3 mikubwa:
Acre moja shilingi 500,000/=
_________________________

8:Shamba linauzwa
Location mihono pwani
Ukubwa Acre 2000
Shamba linafaa kilimo cha mkonge nafaka kufuga na kilimo chakumwagilia
Bei :Milion 300
Umbali: kilomita 6
________________________

9:Shamba kubwa linauzwa
Location mtwara
Shamba limeendelezwa
Shamba lina Minara ya simu 2 Inalipiwa zaidi ya milion 10 kwa mwezi
Shamba limeanza beach acre 200
Shamba limendelezwa
Ukubwa Acre 1300
Bei Bilion 1:5
_________________________

10:Shamba bora kabisa linauzwa :
-Loction Tanga pangani
-Ukubwa Acre 3000
-Shamba lina Title deed
Sifa.
-Shamba limezungukwa na mito mikubwa mto pangani
Shamba lina Title deed:
Bei Bilion 2
_________________________

11:Acre 3500 for sale
Loction pangan -Tanga
Sifa.
Acre 2600 zina mkonge
Kwa mwenzi anazalisha milion 200
-kuna Trecta 5
-Kuna Dozer 2
-kuna Dozer za zamani 2
-Nyumba 10 za wafanyakazi
-Nyumba ya ghorofa 3
-Godown 1
-Banda kubwa la kusaga mkonge
-Maji mto mkubwa
-Bei bilion 6:
_________________________

12:Shamba Linauzwa
Locton Iringa
Wilaya ya kilolo Ilula
Umbali kilomita 40
Ukubwa:Acre 1500
Shamba Lina maji ya kumwagilia
Bei acre moja laki 6:
Shamba linafaa kilimo cha palachichi viazi & kilimo cha kumwagilia
_________________________

13:Shamba kubwa la kumwagilia lina mto mkubwa linauzwa
Loction Morogoro-Dumila
Kilomita 16 toka Morogoro
Ukubwa Acre 1450
Bei bilion 1:5
_________________________

14:Shamba linauzwa
Wilaya ya kilosa
Njia ya Iringa road
Shamba la kumwagilia
Ukubwa:Acre 950
Bei milion 950
_________________________

15:Shamba kubwa linauzwa Morogoro Mvomero
Ukubwa Acre 15,000
Kilomita 45 tu kutoka Morogoro mjini kuelekea barabara ya Iringa
Acre moja shilingi 500,000/=
1:Shamba zimekatwa Acre 500
Kwa shilingi Milion 250
_________________________

16:Shamba kubwa linauzwa
Ukubwa Acre 1500
Loction Morogoro mjini
Umbali kilomita 10 tu
Shamba lina Title deed
Bei Usd 500,000
_________________________

17:Acre 3000 for sale
Loction mihono Bagamoyo pwani
Bei milion 450
Shamba linafaa kilimo cha mkonge kufunga kilimo cha nafaka na kilimo cha kumwagilia
Halina Title deed:
_________________________

18:Acre 4000 for sale
Location mihono
Shamba lina mto wa kumwagilia
Bei bilion 1.6
Hakuna Title deed:
_________________________

19: Loction:
Ruvuma Songea
Ukubwa _Acre 50,000
Shamba lina mto mkubwa shamba linafaa kilimo cha palachichi nafaka na kilimo cha kumwagilia:
Shamba lina Title deed
Bei 500,000 Kwa Acre 1
_________________________

20: Loction Mbwewe &Mkata Pwani
Ukubwa
1:Acre 1,000
2:Acre 2,000
Bei 200000 kwa Acre 1
Shamba kilimo cha mihogo mkonge kufuga kilimo cha nafaka ufuta na mahindi
Shamba Hati ni ofisi ya kijiji
_________________________

21:shamba linauzwa
Loction mkoa wa Tanga
Acre 5060
Shamba ni la kumwagilia
Shamba lina Title deed
Bei kwa acre moja 750,000

State/County:
Country: Tanzania, United Republic of
Property Id: 493
Property Size: 5,000 m2
Property Lot Size: 0 m2
Rooms: 0
Bedrooms: 0
Bathrooms: 0

Compare